UWEZO WA NGISI KUJIBADILI RANGI
Ngisi anayeitwa cuttlefish ana uwezo wa kujibadili rangi na ujificha hivi kwamba asiweze kuonwa na mwanadamu .Kulinga na ripoti moja ,Ngisi hao "wanafahamika kuwa na rangi mbali mbali na wanaweza kubadili rangi kwa njia ya kustahajabisha".
Ngisi huyo ujibadili rangi kwa kutumia chembe chembe fulani ndogo za pekee zilizo chini ya ngozi yake.Chembe hizo huwa na vifuko vilivyo jaa rangi mbalimbali vilivyo zungukwa na misuli midogo sana.
Ngisi uyo anapo taka kujibadili rangi ili ajifiche,Ubongo wake utumatahalifa ya kukaza misuli ilio zunguka vifuko ivyo,kisha vifuko ivyo na misuli utanuka na rangi ya ngisi ubadilika mara moja.Mbali na kutumia uwezo uwo kwa kujificha ,Pia utumia uwezo huo kuvutia ngisi wengine na ata kuwasiliana nao.
Wataalamu katika chuo kikuu cha Bristol Ungereza Walitengeneza ngozi ama ya Ngisi huyo,Waliweka vsahan vya mpira mweusi katika vitundu vidogo vinavyo fanya kama misuli ya ngisi uyo ,Watafiti hao walipo unganisha umeme katika ngozi iyo,Misuli iyo ilitanuka na kubadili rangi ya ngozi iyo.
Utafiti ulio fanya kuusu ngozi ya Ngisi uyo unaweza kutumia kutengeneza nguo ambazo uweza kubadili rangi,
JONATHAN ROSSISTER alifafanua misuli iyo uwa " lain na iimebuniwa kwa ustadi wa hali ya juu",
Na kusema ipo siku moja watu watavaa nguo zilizo buniwa na kutengenezwa kwa kutegemea muundo wa ngozi ya Ngisi uyo "CUTTLEFISH" zinazo weza kubadili rangi ,iwe kwa kujificha au mtindo.
video
Click hapa kuona video
Search
Monday, March 14, 2016
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)
hot weekly news
-
CHEZEA UJANA Binti mmoja wa kitanzania alikuwa anasomea masomo ya kisayansi huko china muda wa miaka 20 alipofuzu na akaweza kugundua da...
-
MATUKIO UK WACHAWI WANASWA KATIKA KANISA LA UFUNUO JIJINI MWANZA Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila umri wa miaka 30 (mwanamke) ...
toniking wed designer

