Search

Friday, February 26, 2016

mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi

No comments
mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi


Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 60 wamejeruhiwa kati yao 42 hali zao ni mbaya baada ya kutokea mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi -Olasiti jijini Arusha.

                          

BASI LA MASHIMBA EXPRESS LAPATA AJALI MBAYA

No comments
Basi La Mashimba Express La Kutoka Kahama na kwenda Mwanza Lagongana Na Gari Ndogo Na Kuua Watu  Wanne


Watu wanne wamefariki dunia katika ajali baada ya basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo  katika eneo la njia panda kuelekea wilayani Kishapu  Mkoani Shinyanga

Ajali hiyo imetokea jana jioni ambapo mashuhuda wa tukio hilo wamedai kuwa ilisababishwa  na  gari ndogo iliyokuwa katika mwendo kasi ambayo ilipoteza uelekeo na kisha kuligonga basi hilo.Watu  wawili  waliokuwa  katika  gari  hilo  akiwemo  dereva  walifariki  dunia  papo hapo


Mganga mfawidhi wa hospitali ya  rufaa ya mkoa wa Shinyanga Dkt Albert George Masigati amesema kati ya saa 12 na saa moja usiku wa kuamkia leo  walipokea miili ya marehemu wanne katika hospitali hiyo ,wote wakiwa ni wanaume na majeruhi wanane,kati yao wanawake wanne na wanaume wanne.

Hata hivyo Dkt Masigati amesema huenda idadi ya majeruhi ikaongezeka kutokana na taarifa kuwa baada ya ajali hiyo kutokea baadhi ya majeruhi walikimbizwa katika hospitali ya Kolandoto na Kishapu.

Dkt Masigati amesema hakuna majeruhi aliye katika hali mbaya na kwamba bado wanaendelea kuwafanyia uchunguzi .

Thursday, February 25, 2016

PATA NENO

No comments

PATA NENO


 "Ucjisifu una marafik wengi kama nywele zako wkt wa shida utajikuta KIPARA". Na huu ndo ukwl wnyw na waliopitia na wanaoendelea kupitia hali hii watakubaliana nami.
By Matanza.....

Mwanamume Afumaniwa Akila Uroda Na Ng'ombe, Limuru

No comments

Mwanamume Afumaniwa Akila Uroda Na Ng'ombe, Limuru

Ni kitendo cha kushangaza.Mwanamume kufanya ngono na ng'ombe.Hili ndilo jambo lililoshuhudiwa hii leo katika kijiji kimoja huko Kiambaa baada ya jamaa anayefanya kazi na kampuni ya maji ya Kikuyu, kufumaniwa akifanya kitendo hicho kisicho cha kawaida na ngombe katika mojawapo ya boma la eneo hilo.

picture




Ng'ombe agoma kufa baada ya kuchinjwa

No comments

Ng'ombe agoma kufa baada ya kuchinjwa


picture



Wednesday, February 24, 2016

MTU AJIITA MUNGU ATOKEA UKO DRC KONGO

No comments
MTU AJIITA MUNGU ATOKEA UKO DRC KONGO 

Nitukio la kushangaza na kusisimua sana lililo tokea Uko JAMUULI YA DEMOKRASIA YA KONGO,
 mji wa Gavilan  katika kanisa la Tatu la malkia wa ubembe.
(Picture yake)
(NabiiaTATA WAHISEELELWA)

, Mtu moja Afahamikae kwa
jina la Nabiia WATATA WAHISEELELWA Ajiitae MUNGU 3 yani Mungu Mtu Roho Mtakatifu,
Mtu uyo(Nabiia WATATA WAHISEELELWA) amedai Amekuja kama Musa na Yesu walivyo kuja,
Nabiia WATATA WAHISEELELWA asema Yesu na Musa walikua wazungu ila yeye ni mweusi 
Adai uwo ndio utatu mtakatifu

(Video)

Monday, February 22, 2016

Mtoto azaliwa na vichwa vitatu..

No comments

   Mtoto azaliwa na vichwa vitatu

               Mtoto mwenye vichwa vitatu azaliwa katika hospital ya 
GARISSA,yasemekana mtoto uyo amezaliwa na vichwa vitatu
 ,vidole sita na akiwa na meno..
 (video)


                                                                   

Angalia mazingaombwe ya wazungu

No comments
Angalia mazingaombwe ya wazungu


ajali mbaya iliyotokea bara la Asia

No comments

ajali mbaya iliyotokea bara la Asia

                                                                                                            

MATUKIO UK WACHAWI WANASWA KATIKA KANISA LA UFUNUO JIJINI MWANZA

No comments

MATUKIO UK WACHAWI WANASWA KATIKA KANISA LA UFUNUO JIJINI MWANZA

Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila umri wa miaka 30 (mwanamke) na Chiza Juma (mwanaume) waliotambulika kuwa ni wachawi mara baada ya kubanwa na kujitambulisha wamekamatwa majira ya saa 12 asubuhi leo katika kanisa la Ufunuo lililopo maeneo ya Butimba jijini Mwanza wakisafiri kwa ungo toka kijiji cha Kaziramkunda wilayani Kasulu mkoani Kigoma hadi jijini Mwanza kwania ya kuwachukuwa watu watatu walioagizwa kwaajili ya sadaka.


KILICHO MKUTA SHABIKI WA YANGA

No comments
KILICHO MKUTA SHABIKI WA YANGA 
Hii ni baada ya February 20/2016 ilichezwa mechi ya Yanga vs Simba uwanja wa taifa Dar es salaam ,Ni mechi ya ligi kuu ambapo Yanga walichukua ushindi wa 2-0, ikiwa ni mara ya 31 Yanga kuishinda Simba ikiwa hii ni mechi yao ya 81 toka waanze kukutana uwanjani.

Baada ya mpila kuisha washabiki video


hot weekly news

toniking wed designer

toniking wed designer