Search

Monday, February 22, 2016

MATUKIO UK WACHAWI WANASWA KATIKA KANISA LA UFUNUO JIJINI MWANZA

No comments

MATUKIO UK WACHAWI WANASWA KATIKA KANISA LA UFUNUO JIJINI MWANZA

Watu wawili ambao ni Masaganya Kalimanzila umri wa miaka 30 (mwanamke) na Chiza Juma (mwanaume) waliotambulika kuwa ni wachawi mara baada ya kubanwa na kujitambulisha wamekamatwa majira ya saa 12 asubuhi leo katika kanisa la Ufunuo lililopo maeneo ya Butimba jijini Mwanza wakisafiri kwa ungo toka kijiji cha Kaziramkunda wilayani Kasulu mkoani Kigoma hadi jijini Mwanza kwania ya kuwachukuwa watu watatu walioagizwa kwaajili ya sadaka.


No comments :

Post a Comment

hot weekly news

toniking wed designer

toniking wed designer