Search

Friday, February 26, 2016

mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi

No comments
mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi


Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 60 wamejeruhiwa kati yao 42 hali zao ni mbaya baada ya kutokea mlipuko kwenye sherehe za Uzinduzi wa kanisa katoriki parokia ya mtakatifu Yosefu mfanyakazi -Olasiti jijini Arusha.

                          

No comments :

Post a Comment

hot weekly news

toniking wed designer

toniking wed designer