Search

Thursday, February 18, 2016

Homa ya ajabu

No comments

 Homa ya ajabu



Sijui ni MALARIA yani naumwa kweli hata kula nashindwa asubuhi yenyewe nimekula chapati 9 tu maandazi 7 mihogo 7 vitumbua 10 Mikate6 magimbi 5 ndizi za kukaanga 4 sambusa 5 sahani za ubwabwa 3 mtori bakuli 2 pilau sahani 5 kulikuwa na kipolo cha makande nimejazia jazia ivo ivo kigonjwa gonjwa saivi natoka kwa Doctor kuchukua dawa ya kuleta hamu ya kula kwa kweli hali yangu ni mbaya wiki ijayo nakuja kuugulia kwako. USIKU MWEMAA.Forward from: Matanza the best

by toniking

No comments :

Post a Comment

hot weekly news

toniking wed designer

toniking wed designer