Search

Thursday, February 18, 2016

WAZO LA LEO

No comments
 WAZO LA LEO: 


WAZO LA LEO:
Hata uwe na tamaa vipi huwezi kutamani kifo.......!!
WAZO LA KESHO; mwanaume hata awe na huruma vipi, hawezi kumsaidia mwanamke kubeba mimba.
WAZO LA KESHO KUTWA; Urefu na ufupi ni majaliwa ya muumba lakini vitambi na mimba ni juhudi zetu wenyewe! 

UKWELI WA MAISHA.
Bila pesa Mademu wazuri Utaishia Kuwaita Shemeji.......!

NI MTAZAMO TU,, 



Mapenzi yangekuwa IBADA vijana wote 2ngeenda MBINGUNI.

No comments :

Post a Comment

hot weekly news

toniking wed designer

toniking wed designer